28/06/2026
TEKNOLOJIA SAFI YA KISASA YA KUDHIBITI WADUDU
Karibu Himaya Pests Solutions, kampuni inayoongoza kwa teknolojia ya kisasa ya fumigation nchini Tanzania na Afrika Mashariki. Tukiwa na matawi na ofisi nchini Kenya, Uganda, Nigeria, Afrika Kusini, Mauritius na Ghana, tunajivunia kutoa huduma za kitaalamu, salama na zenye matokeo ya uhakika.
Tunatoa huduma za: • Ufukizaji wa nyumba na makazi
• Ufukizaji wa biashara na taasisi
• Kutokomeza kunguni
• Ufukizaji wa meli na makontena
• Ufukizaji wa mazao na bidhaa za kilimo
• Ufukizaji wa maghala, machapisho na maeneo kabla ya ujenzi
• Humidification ya maeneo makubwa
• Udhibiti wa popo na nyuki kwa njia za kibiolojia
• Mafunzo ya kitaalamu kuhusu udhibiti wa wadudu
Tunadhibiti aina zote za wadudu kwa kutumia teknolojia ya kisasa na viuatilifu vilivyoidhinishwa. Bei zetu ni nafuu, kuanzia TSh 60,000 hadi TSh 100,000 kwa kila chumba, kulingana na ukubwa wa eneo na kiwango cha huduma kinachohitajika.
Ofisi yetu:
📍 Dar es Salaam – Uhuru Heights, Ghorofa ya 4, Lango M12
Wasiliana nasi:
📞 Simu/WhatsApp: +255 745 939 042
Huduma zinapatikana saa 24, siku 7 za wiki.
Himaya Pests Solutions – Tunatoa Huduma Kwa Moyo Safi.