27/06/2019
"Dhambi si Dhambi ila Dhambi ni Dhambi tukiitenda tunajua kuwa ni Dhambi"
ukweli wa miungu wawili yaani Mungu na shetani ni "Nafsi" Zetu yaani Binadamu, shetani au Mungu ninaweza kuwa hata mimi na wewe. kwa mazuri "tunauishi Umungu" kwa mabaya "tunauishi ushetani" tutafikiri na kudhania kuwa Mungu yupoje na shetani yupoje ukweli ni kwamba mimi au wewe tunaweza tukawa Mashetani wakubwa na kuwa Mungu;- uhalisia wa kuwa na roho ya Kimungu au kishetani hujengo kutokana na malezi ya watu na matendo yao. Msingi mkubwa wa Malezi ni kwa wazazi na walezi, hawa ndio sababu kubwa ya kumjengea Mtoto roho ya Kimungu au mbaya, lakini pia sababu nyingine ni Malezi ya Hatua, Nikisema malezi ya "Hatua" namaanisha kuwa katika maisha ya Mwanadamu kuna hatua za ukuaji tukianza akiwa "Mtoto" , "Kijana" hata Mtu mzimz mwenye maamuzi binafsi hatua mbaya katika kumjenga mtu huwa wakati wa ujana wake hapa mara nyingi kijana hulazimisha kufanya maamuzi kwa sababu zifuatazo;- 1. Shinikizo la watu wanaotaka kuitumia hatua yake kwa kwa mambo yao binafsi. 2. Tamaa za maisha (Kutamani hatua ambayo kimsingi muda wake haujafika) 3. Kutazamia mbona Flani, mbona naweza, kwani nitafanyeje. Hapo ndipo kijana hujihusisha na mambo k**a;- uvutaji wa madawa ya kulevya, umalaya, wizi, kiburi na ushindani usio na maana.......... By; John Christopher JCM🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿