19/02/2026
Historia ya Jumatano ya Majivu(kwa wakatoliki — Ash Wednesday kwa Kiingereza) ni hii:
‎
‎Muundo wa Historia
‎Asili yake ilikuwa na ishara ya toba na majivu, tangu zamani za Agano la Kale, ambapo watu waliweka majivu juu ya miili yao kuonyesha toba, huzuni, na unyenyekevu mbele za Mungu (Kitabu cha Biblia Katika Agano la Kale kuna mfano wa matumizi ya majivu k**a ishara ya toba (k**a Daniel 9:3; Yonah 3:5–6).
‎Katika zama za Kanisa la Kikristo, imani ya kutumia majivu kuonyesha toba ilianza kuchukuliwa k**a ishara ya kuanza msimu wa Kwaresima kipindi cha siku 40 za kufunga na toba kabla ya Pasaka kulingana na makalaya Encyclopedia Britannica.
‎Majivu kutumika rasmi k**a taratibu za liturujia ya Jumapili ya Majivu (Ash Wednesday) ilianza kutumika katika Kanisa Katoliki kabla ya karne ya 8, na jadi hii ilienea zaidi ulimwenguni kulingana na makala ya Friars.
‎
‎Mnamo mwaka 1091, Papa Urbano II aliamuru kanuni hii ya kupokea majivu iweze kutumika rasmi kwa Kanisa lote la Kirumi na kuitwa “Feria Quarta Cinerum”(Jumatano ya Majivu) k**a mwanzo wa Kwaresima katika makala ya ukrasa wa Catholic Education / Catholic Online.
‎
‎
‎
‎
‎