Bifad Tanzania

Bifad Tanzania All Solar Related Products

03/09/2026

BATTERY ZA PIKIPIKI ZA KUCHAJI KWA UMEME

Battery hizi zinatumika kwenye Pikipiki Za kuchaji.

✅Hizi ni Maalumu Kwa Kazi Hiyo....

✅Ni Size 12V 24H

✅Battery Moja Inauzwa Tsh. 120,000/=

☎️Namba zetu 0713 130144

Tupo Kariakoo,Mtaa Wa Amani





31/08/2026

HII KWAAJILI YA KUCHEMSHA MAJI, CHAI NK KATIKA GARI LAKO.... HATA UKIWA KWENYE BUS UNAENDA MKOANI INAKUFAA SANA.

INATUMIA 12VOLTAGE, HATA KWENYE MFUMO WA SOLAR INAFAA PIA.

GHARAMA YAKE NI TSH 30,000 TUU

NAMBA ZETU NI 0713 130144

🇹🇿 🚌_nchi_jirani

29/08/2026

Headlamp ya kukimbia/kuendesha baiskeli usiku. 🔦

💡 Kuangaza mbele kwa eneo pana ili uone njia ukiwa unakimbia Usiku.

🔴 Red light/warning kusaidia kuonekana na wengine.

👋 Induction — inaweza kuwashwa/kubadilisha mode kwa kupitisha mkono mbele, bila kubonyeza sana.

🔋 Ni Rechargeable — inachajiwa kwa umeme.

🚴 Inafaa kwa running, cycling, kutembea usiku, hiking, n.k.
Kwa kifupi, inakupa mwanga na usalama ukiwa unatembea au kufanya shughuli usiku

BEI YAKE NI TSH.35,000 TUU.

NAMBA ZETU 0713 130144

TUPO KARIAKOO-DSM

28/08/2026

Taa Ya Solar Yenye Mwanga Mkali, Usiku inajiwasha yenyewe bila tatizo, na Inawaka mpaka Asubuhi na Kujizima Yenyewe.

Bei Yake ni 280,000 tuu

Namba zetu 0713 130144




25/08/2026

Nguzo Za Kufunga Taa Za Solar Au Taa Za Umeme, Hizi Ni Special Kwaajili Ya Miradi Ya Serikali K**a Kufunga Taa Za Barabarani, Na Sehemu Zingine Kubwa za Wazi.

NGUZO INA UREFU WA MITA NANE{Height 8M}✅

Kwa Wale Wateja Serious Tupigie Simu 0713 130144 Uje Ukague Mzigo Kwa Macho, Siyo Kuona Kwa Picha.

Tupo Kariakoo





25/08/2026

Jipatie Felicity GEL Battery, Battery Zenye Ubora Wa Kimataifa.
Kuna 100Ah,150Ah na 200AH

Namba zetu 0713 130144

🚌_nchi_jirani

24/08/2026

Taa ya solar ya mapambo (solar RGB LED strip light).

☀️ Kuchaji kwa jua mchana kupitia solar panel.

🔋Kutoa mwanga wa rangi mbalimbali (RGB) kwa kutumia LED strip.

🔋Unaweza kubadilisha rangi na mode za mwanga kwa remote.

🔆 Ina uwezo wa kupunguza au kuongeza mwangaza (DIM).

⏱️ Remote ina timer za 4H, 6H na 8H.

🌙 Inatumika zaidi usiku, hasa kupamba nyumba, bustani, ukuta, uzio, miti, balcony au sehemu za sherehe.

🔋 Nishati inayohifadhiwa kwenye betri ya ndani wakati wa mchana hutumika kuendesha taa usiku.

📡 Remote control inakuruhusu kuwasha/kuzima na kuchagua modes bila kwenda kwenye panel.

BEI YAKE NI TSH. 50,000/=

NAMBA ZETU 0713 130144

TUPO KARIAKOO-DAR


14/08/2026

TAA YA KUFUNGA UKUTANI YA SOLAR, UNAIFUNGA NJE KTK UKUTA WAKO
INAWAKA mwanga Wa Rangi Ya Njano, Mweupe na Mchanganyiko ni Inapendezesha Ukuta wako Vizuri Sana

Bei Yake ni Tsh. 39,500/= tuu

Namba zetu 0713 130144

tupo Kariakoo,mtaa Wa Amani - dsm

Asante Sana Chief Scout Of Tanzania  Mheshimiwa Rashid K. Mchatta  Kwa kututembelea Katika Maonyesho Ya Kilimo Nanenane ...
06/08/2026

Asante Sana Chief Scout Of Tanzania Mheshimiwa Rashid K. Mchatta Kwa kututembelea Katika Maonyesho Ya Kilimo Nanenane Mkoani Morogoro na kujionea bidhaa Mbali Mbali za solar.

06/08/2026

TAA HII UNAWEZA KUCHAJI KWA SOLAR AU UMEME, INA MWANGA MKALI SANA PIA UNAWEZA KUITUMIA K**A POWER BANK.

BEI YAKE NI TSH. 55,000 TUU

NAMBA ZETU ZA SIMU +255 713 130144

TUPO KARIAKOO, MTAA WA AMANI.

🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋





Address

Amani/Livingstone Street
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bifad Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share