28/11/2023
OFFERS! OFFERS! OFFERS!!
KARIBUNI WATEJA WOTE MFURAHIE OFA ZETU ZA PUNGUZO LA BEI PAMOJA NA OFA TOKA SUN SHIELD MABATI
BATI YA RANGI KAWAIDA.
☑Gauge 30'
Mgongo mpana 23,500/=
Mgongo mdogo 23,500/=
☑Gauge 28'
Mgongo mpana 35,000/=
Mgongo mdogo 35,000/=
Bati muundo wa kigae 43,000/=
BATI YA CHENGA CHENGA
☑Gauge 30'
Mgongo mpana 28,000/=
Mgongo mdogo 28,000/=
Bati muundo wa kigae 40,000/=
☑Gauge 28'
Mgongo mpana 38,000/=
Mgongo mdogo 38,000/=
Bati muundo wa kigae 45,000/=
☑BATI YA ROMANTILE
Gauge 30' ni 43,500/=
Gauge 28' ni 49,500/=
Bati za vipimo maalum (Special Order)
Mita moja (30G) ni 14,000/=
Mita moja (28G) ni 16,500/=
✅USAFIRI NI NAFUU KWA MIKOA YOTE TANZANIA 🇹🇿.
Utapata na offer ya misumari kilo 5.
Kumbuka bei zetu ni za KIWANDANI kabisa.
✅Tunazalisha na kuuza mahitaji yote ya UEZEKAJI k**a KOFIA,VALLEY,CRIMPING na MISUMARI.
☑Mabati yetu yana wingi wa Madini ya ALUMINIUM & ZINC ambayo husaidia sana bati kuhimili vipindi vya jua na hata mvua.Hio ndio sababu mabati yetu huweza kudumu kwa muda mrefu bila kupauka,kutoboka wala kupata Kutu!!
➡️kwa WATEJA wetu wa mikoani,Kumbuka huduma zetu zinakufikia popote pale Tanzania,Hivyo usisite kutupigia na Tukakupa utaratibu wa kuweza kupata huduma zetu kwa Ubora na Uharaka zaidi.
Ufuatao ni utaratibu wa namna ya kulipia bidhaa yako kutoka KWETU.
Fika Mteja/Mwakilishi kwenye Ofisi zetu au kiwandani kujiridhisha na ubora wa bidhaa zetu.Baada ya kujiridhisha utafanya malipo kwenye Ofisi zetu Au kufanya Malipo ya Moja kwa Moja kupitia Akaunti Yetu ya Benki.
CRDB BANK -0150 688 232 600
NMB BANK -226 100 369 55
( JINA : SUPER SHIELD LTD)
TUPIGIE :-
☎️ 0769 997710
📍Tupo,Temeke kwa sokota,Mandela Road,DAR ES SALAAM.
"Popote Tunakufikia"