29/08/2026
Tumefanikisha kufanya maboresho ya umeme kwenye jengo hili wapangaji Kwa mteja wetu maeneo ya Ungindoni, Kigamboni, Dar es salaam.
✅Tumehamisha DB kutoka chumba Cha mpangaji na kuiweka nje ili Kila mmoja aweze kuipata.
✅Tumefunga submeters za kukata umeme ili Kila mmoja ajitegemee kwenye matumizi.
✅Tumefunga feni kwa ajili ya kipindi kinachokuja cha joto.
Ukihitaji huduma zetu tuwasiliane kupitia:-
☎️ +255653535595