O&J Group

O&J Group Visit our website for more Information. www.lijonjo.webs.com

For Muslims...
22/09/2017

For Muslims...

Great Pic and stir until you have your search
18/09/2017

Great
Pic and stir until you have your search

Download 1000 modern house autocad plan inlcude floor plan, sections, elevations , electric detail and working plan of house.

30/08/2017

'Arafah ni tarehe 9 Dhul-Hijjah ambayo itakuwa ni siku ya Alkhamis ya tarehe 31 Agosti 2017.
'Arafah ni jabali ambalo Mtume (S.A.W) alisimama katikati ya bonde lake kuhutubia Maswahaba katika Hajj ya kuaga, na hapo ndipo wanaposimama Mahujaji kutimiza fardhi ya Hajj. Kusimama hapo ndio nguzo mojawapo kuu ya Hajj.
Kufunga Swaum siku ya ‘Arafah ni makhsusi kwa wasiokuwepo huko ‘Arafah siku hiyo. Ama mahujaji hawatakiwi kufunga Swaum siku hiyo.
Kufunga siku hii kuna fadhila kubwa ya kufutiwa madhambi ya mwaka uliopita na mwaka ujao.
Tuweke nia ya kutimiza funga hii hapo kesho, insha'Allah.

26/05/2017

Ramadhan Mubarak Khadija Yusuph

10/03/2017

Jumaa Mubaarak

17/02/2017

( رَّبَّنَا إِنَّنَا سَمِعْنَا مُنَادِيًا يُنَادِي لِلْإِيمَانِ أَنْ آمِنُوا بِرَبِّكُمْ فَآمَنَّا ۚ رَبَّنَا فَاغْفِرْ لَنَا ذُنُوبَنَا وَكَفِّرْ عَنَّا سَيِّئَاتِنَا وَتَوَفَّنَا مَعَ الْأَبْرَارِ )

آل عمران (193) Aal-Imran

Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tumemsikia mwenye kuita akiitia Imani kwamba: Muaminini Mola wenu Mlezi; nasi tukaamini. Basi tusamehe madhambi yetu, na utufutie makosa yetu, na utufishe pamoja na watu

30/01/2017

A razor blade is sharp but can't cut a tree; an axe is strong but can't cut the hair.

MORAL; Everyone is important according to his/her unique purpose, Never look down on anyone unless you are admiring their shoes. If they don't have shoes, just complement their toes.

Think Wisely....

Mr. O.Makwinya (CEO) of O&J GroupSalaam, Tumekamilisha mambo muhimu ya kuweza kuona malengo ya O&J Group kuwa Active hiv...
19/08/2016

Mr. O.Makwinya (CEO) of O&J Group

Salaam,

Tumekamilisha mambo muhimu ya kuweza kuona malengo ya O&J Group kuwa Active hivi karibuni. Tutatoa huduma za ndani (Indoor services and products) na huduma za nje k**a hizi (Baadhi)..
Indoor:
- Print outs kwa hadi ukubwa wa A0 (Posters (Mabango) na Ramani), Mug & Glass printing, Plates & Glass Decors printing, T-shirt & Cloth printings (Lesso n.k), General Secretarial services, Huduma ya chumba cha kisasa cha mikutano (40 seats).
- Mafuta ya kula (Cooking Oil), mafuta yasiyoongezwa kitu chochote ya kula yatokanayo na Alizeti na Karanga ambayo yatakuwa na Product mbili Mafuta ghafi(Crude) na mafuta yaliyosafishwa (Refined), mtambo huu ni wenye uwezo wa kuzalisha lita 2000 kwa siku. Tutatoa kwa ujazo wa Lita 5, 3 na moja.
- Tofali za kujengea, tutatoa tofali ukubwa tofauti tofauti,(Pave blocks, hollow etc)
- Pia kutakuwa na huduma ya usafiri wa basi kati ya Iringa na Dodoma kila siku.

Hii ni hatua ambayo CEO amekuwa akiifanyia kazi kwa muda kwani ilihitaji mambo mengi ya msingi k**a kupata eneo, ujenzi, kuagiza mitambo nje ya nchi na pia kupitia mamlaka husika kuona vigezo stahiki vya kuweza kutoa huduma zenye viwango sahihi hasa kwa uzalishaji wa mafuta ya kula.

Ilipelekea kuwa na safari za kujifunza kwenda China na India mara kadhaa kisha kupata wataalam sahihi kwa kupata mitambo hiyo ambao ni kutoka China.

Mchakato huu umeanza April 2015 na umeendana na changamoto nyingi sana ambazo pia zimesababisha hata Mr. Makwinya kuona umuhimu wa kuandika MEMOIR (Hadi ufunguzi wa huduma hizi za O&J k**a toleo la kwanza) itakayotoa picha na mambo mengi kwa wengine hasa Familia yake yeye mwenyewe.
Napenda kutoa shukurani kwa walionitia moyo, walionikatisha tamaa walihusika kunipa changamoto mbadala pia lazima niwashukuru. Naamini kuna wengi ambao wanaoanza from the scratch with only the asset they have is their Brains, Artitude, courage and behaviour k**a mtaji wao watajifunza mengi kutoka katika MEMOIR hiyo... Sooon
Nawatakieni siku njema wote na karibuni sana kuniunga mkono.

Ahsanteni sana.

Omar Makwinya,
CEO,
O&JGroup.

21/05/2016

Greetings from Lijonjo ComputerTech

24/07/2015

Ukipata muda nijibu(kwanini) Nuhu alitengeneza safina kwa muda wa miaka 40, Mvua ya Garika ilinyesha siku 40, Waisrael walikaa utumwani Misri kwa miaka 40. Pia Waisrael walisafiri Nyikani kwa muda wa Miaka 40, mnara wa Babeli ulijengwa kwa miaka 40, BWANA
YESU KRISTO, alifunga kwa Siku 40, pia alipaa Mbinguni baada ya siku 40,
Pasaka inaadhimishwa baada ya Siku 40. Hata watu wakifiwa, humaliza msiba kwa kuondoa matanga baada ya siku 40, pia watu husema za mwizi 40, hata mtoto hutolewa nje baada ya siku 40. "kweni 40 ni nini?"
Ukishindwa mtumie Mtu mwingine hadi tupatejibu

17/07/2015

Tunawatakia waislaam na watanzania wote sherehe njema za kumaliza mfungo Mtukufu wa Ramadhani.
Eid Mubaraka

01/07/2015

Tunawatakia siku njema sana
Karibuni sana kuja kutuunga mkono kuanzia jumatatu ya kwanza ya August katika ofisi zetu za Lindi, Dodoma na Songea.
Usisahau kutembelea www.lijonjo.webs.com
Pia tunapatikana kwa E-mail [email protected]

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 19:30 - 17:30
Tuesday 19:30 - 17:30
Wednesday 19:30 - 17:30
Thursday 19:30 - 17:30
Friday 19:30 - 17:30
Saturday 19:30 - 17:30

Telephone

+255715617735

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when O&J Group posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to O&J Group:

Share