Smart Agroforestry and General Supplies Co Ltd.

Smart Agroforestry and General Supplies Co Ltd. We focused to provide readily accessible, multidisciplinary, modern, professional technical advisory services to forestry and broader other sectors.

Tuliangazia kutoa huduma zenye urahisi, kisasa na kitaalamu za ushauri wa kiufundi kwenye Mitibiashara na sekta nyingine.

Unafikiria kuanzisha kitalu cha MICHE YA MITI?•Hakikisha unatumia mbegu bora za miti.•Unaandaa kitalu katika eneo salama...
29/06/2022

Unafikiria kuanzisha kitalu cha MICHE YA MITI?

•Hakikisha unatumia mbegu bora za miti.
•Unaandaa kitalu katika eneo salama.
•Udongo umechanganywa kwa uwiano sahihi.
•Nguvu kazi yenye ujuzi na weredi.
•Kuweka ulinzi kwa wanyama na wezi.

Haya yote utayapata kwa ghalama nafuu na ubora zaidi.

Wasilliana nasi kwa 0758 116818 au 0625 010100.

Karibu sana   Tunatoa huduma ya kutambua aina ya MITIBIASHARA kulingana na eneo husika kupitia mfumo huu wa SSMT.Wasilli...
28/06/2022

Karibu sana
Tunatoa huduma ya kutambua aina ya MITIBIASHARA kulingana na eneo husika kupitia mfumo huu wa SSMT.

Wasilliana nasi kwa huduma ili kuleta tija la shamba lako.

Tunafika kokote ulipo ndani ya mipaka ya Tanzania.
0758 116818, 0625 010100

'Dunia ni Moja tu' tuendelee kuitunza kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye.
05/06/2022

'Dunia ni Moja tu' tuendelee kuitunza kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye.

KWANINI UWEKEZE KWENYE MITIBIASHARA?Ni dhahili fursa zilizopo kwenye uwekezaji katika sekta ya misitu na msukumo endelev...
13/05/2022

KWANINI UWEKEZE KWENYE MITIBIASHARA?
Ni dhahili fursa zilizopo kwenye uwekezaji katika sekta ya misitu na msukumo endelevu wa ukuaji wake, unawahakikishia wakulima wadogo na wakubwa uboreshaji wa uchumi na mazingira.

Mambo MATANO muhimu kuzingatiwa katika uwekezaji katika sekta ya misitu;

1. Mahitaji ya Miti Kuongezeka.
Kufikia mwaka wa 2030, mahitaji ya mbao yataongezeka kwa mara mbili ya sasa na sababu ya kupungua kwa misitu ya asili, kuboreshwa kwa bidhaa za misitu na kuongezeka kwa idadi ya watu.

2. Bei ya Miti kuongezeka zaidi.
Kuadimika kwa mazao ya misitu sokoni kunapanua fulsa ya biashara na thamani ya uwekezaji katika sekta ya misitu nchini. Mti huongezeka thamani kadri unavyokua zaidi ya mfumuko wa bei. Kwa mujibu wa mwekezaji Jeremy Grantham, bei mbao katika karne iliyopita (~ 1905-2005) thamani ya mazao ya miti imeongezeka kwa takriban 3% zaidi ya mfumuko wa bei.

3. Miti inaweza kurudisha faida zaidi kuliko hasara.
Biashara ya miti inauwezekano wa kulipa zaidi ya kupata hasara (Risk/Return Trade off). Hii inamaanisha biashara hii ina ambatana na hatari kubwa ya kuanguka lakini ikiwa na uwezekano mzuri wa faida kubwa katika kuzingatia maamuzi ya uwekezaji. Hata hivyo misitu ina inaweza kubaki na thamani wakati mwingine hata k**a ikiharibiwa na moto au majanga ya asili pia ardhi yake kupandwa miti mingine kwa faida zaidi.

4. Miti ina uwiano chini katika madaraja mengine ya mali.
Thamani ya miti shambani inaongezeka siku hadi siku na kuweka tofauti ya soko la uchumi mkubwa kuliko madaraja mengine ya mali/uwekezaji. Pia soko la miti sio rahisi kuathirika kirahisi ukilinganisha na madaraja mengine ya mali, k**a vile bidha za maghalani, mali fungani na mali isiyohamishika.

5. Uwekezaji katika ardhi na thamani yake.
Ingawa Ardhi muhimu ya kupanda miti inaweza kukodishwa, lakini wawekezaji wengi wa miti wanapenda kununua ardhi k**a fulsa nyingine ya ewekezaji. Ukuaji wa thamani ya ardhi ni moja ya faida muhimu kwa mwekezaji wa miti kwani upatikanaji wake unapungua na mahitaji yake yanakua kwa sababu ya ongezeko la idadi ya watu na maendeleo ya kibiashara.

Tanzania kuna fulsa nzuri ya uwekezaji katika maeneo mengi yanayostawisha mazao mengi ikiwemo miti ya aina mbalimbali.
Karibu sana Smart Agroforestry & Gen Supp Co Ltd upate ushauri wa kitaalamu na usimamizi uliotukuka kwenye biashara yako.

Eid Mubarak 🌙
03/05/2022

Eid Mubarak 🌙

Happy Easter Sunday and a very Happy Fasting and Ramadan Mubarak to you and your family.
17/04/2022

Happy Easter Sunday and a very Happy Fasting and Ramadan Mubarak to you and your family.

Company information.Established in 2022, Miti-Smart Forestry Resolution Company Ltd will be one of Tanzania leading and ...
08/04/2022

Company information.
Established in 2022, Miti-Smart Forestry Resolution Company Ltd will be one of Tanzania leading and largest forestry resolution companies. The core business of the company is focused on best Silvicultural and Environmental practices in forest establishment and management for private owners and public agencies/authorities.
We provide excellent and smart services to reduce investment risks and increase competencies and revenue to tree grower's investments in;
o Forestry investment consultation
o Sourcing of suitable forestry investment for investors
o Nursery establishment and Afforestation
o Forest establishment and management
o Beekeeping consultation

Contact us,
Mob/WhatsApp: +255 625 010 100
Email: [email protected]
Mafinga, Iringa-Tanzania.

Address

Mafinga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Smart Agroforestry and General Supplies Co Ltd. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Smart Agroforestry and General Supplies Co Ltd.:

Share