Mysol muleba 1

Mysol muleba 1 mysol muleba wauzaji solar ,za kulipia kidogokidogo au cash tupigie 0767964852
maelezo

Katika mapambano ya kombe la Dunia sisi mysol tumejipanga kuhakikisha haukosi kombe la Dunia kulingana na ivyo tumekulet...
16/06/2026

Katika mapambano ya kombe la Dunia sisi mysol tumejipanga kuhakikisha haukosi kombe la Dunia kulingana na ivyo tumekuletea mtambo wa na tv teevo au w55 utapewa taa nne utapewa panel, utapewa tv 24 inch kwa kianzio Cha 108,000tsh hatujaishia hapo utapata na kingamuzi Cha azam kwa kianzio Cha 16,500tsh
Tutakupa warranty miaka minne ,
tutakufungia bure
Tutakupa offa ya mwezi mmoja bila kufanya malipo
Tunapatikana mikoa yote ya tanzania kazi kwako unataka mtambo huu ukiwa wapi naomba majina Yako na eneo unapatikana tukuletee burudani nyumbn kwako solar Bora maisha Bora maelezo zaidi tupigie 0767964852au Whatsapp number +255785515426 karibu mysol karibu sana

UMECHOKA KULALA GIZA? PATA SOLA KWA MALIPO RAHISI YA POLEPOLEMysol Sol Muleba tunakuletea huduma ya sola bora, imara na ...
10/05/2026

UMECHOKA KULALA GIZA? PATA SOLA KWA MALIPO RAHISI YA POLEPOLE

Mysol Sol Muleba tunakuletea huduma ya sola bora, imara na yenye warranty ya miaka 4. Umiliki mfumo wako wa sola kwa kulipa kidogo kidogo kwa siku, wiki au mwezi. Muda wa malipo ni miaka 2 tu.

HUDUMA ZETU:

✓ Sola W55 + TV inch 24, taa 4, controller na USB charger
Kianzio: Tsh 100,800/=
Malipo ya siku: Tsh 2,577/=

✓ Sola W80 + Betri, taa, redio ndogo, tochi, TV inch 24 na USB charger
Kianzio: Tsh 129,500/=
Malipo ya siku: Tsh 3,602/=

✓ Sola W120 + Betri, taa, redio ndogo, tochi, TV inch 32 na USB charger
Kianzio: Tsh 156,450/=
Malipo ya siku: Tsh 4,121/=

✓ Sola W200 + Betri, taa, redio ndogo, tochi, TV inch 42 na USB charger
Kianzio: Tsh 247,800/=
Malipo ya siku: Tsh 5,993/=

MITAMBO BILA TV:

✓ W80 bila TV (Sola W80, taa 3+, betri na USB charger)
Kianzio: Tsh 88,400/=
Baada ya ofa: Tsh 2,394/= kwa siku

✓ W120 bila TV (Sola W120, taa 3+, betri na USB charger)
Kianzio: Tsh 99,400/=
Baada ya ofa: Tsh 2,720/= kwa siku

✓ W200 bila TV (Sola W200, taa 3+, betri na USB charger)
Kianzio: Tsh 158,900/=
Baada ya ofa: Tsh 4,190/= kwa siku

✓ W10 (Sola W10, taa 3 na USB charger)
Kianzio: Tsh 10,000/=
Baada ya ofa: Tsh 753/= kwa siku
Muda wa malipo: miezi 18

FAIDA ZA KUCHUKUA MYSOL:
✓ Ofa ya mwezi 1
✓ Warranty miaka 4
✓ Ufundi na matengenezo bure
✓ Tunapatikana Tanzania nzima

Usikose nafasi hii. Wahi sasa umiliki sola yako.

Piga simu: 0767 964 852
WhatsApp: +255 767 964 852

MYSOL SOL MULEBA – Hakuna kulala gizani.
Following

Mysol Sola Bora tupo Tanzania nzima tupige 0767964852 ili umiliki sola yako kwa kulipia polepole kwa malipo ya siku, wik...
09/05/2026

Mysol Sola Bora tupo Tanzania nzima tupige 0767964852 ili umiliki sola yako kwa kulipia polepole kwa malipo ya siku, wiki au mwezi muda wa malipo ya mitambo yetu ni miaka miwili tu na tunakupa warranty ya miaka minne ya sola zetu.
Wahi sasa ✓ Mysol kumenoga hakuna kulala Giza

✓ Karibu umiliki sola W55 ikiwa na Tv inchi 24, Taa 4, Controller na USB kianzio ni 100,800/= malipo kwa siku 2,577/=

✓ Karibu umiliki sola W80, Betri, Taa, Redio ndogo, Tochi, Tv inchi 24 na USB chaja kianzio ni 1295,00/= kwa siku ni 3,602/=

✓ Karibu umiliki Sola W120, Betri, Taa, Redio ndogo, Tochi, Tv inchi 32 na USB chaja kianzio ni 156,450/= kwa siku ni 4,121/=

✓ Karibu umiliki Sola W200, Betri, Taa, Redio ndogo, Tochi, Tv inchi 42 na USB chaja kianzio ni 247,800/= kwa siku ni 5,993/=

____MITAMBO BILA TV_____

✓ Pata W80 bila TV (Sola W80, Taa 3+, Betri na USB chaja) kwa kianzio cha Tsh 88,400/= ofa mwezi mmoja baada ya ofa kuna malipo ya siku Tsh 2,394/=

✓ Pata W120 bila TV (Sola W120, Taa 3+, Betri na USB chaja) kwa kianzio cha Tsh 99,,400/= ofa mwezi mmoja baada ya ofa kuna malipo ya siku Tsh 2,720/=

✓ Pata W200 bila TV (Sola W200, Taa 3+, Betri na USB chaja) kwa kianzio cha Tsh 158,900/= ofa mwezi mmoja baada ya ofa kuna malipo ya siku Tsh 4,190/=

✓ Pata mtambo W10 (Sola W10, Taa 3,na USB chaja) kwa kianzio cha Tsh 10,000/= baada ya ofa malipo ya siku ni Tsh 753, Muda wa malipo miezi 18.

✓ Muda wa malipo ni miaka miwili
✓ Ofa mwezi mmoja
✓ Warranty miaka minne
✓ Ufundi na matengenezo bure
✓ Tupo Tanzania nzima
✓ Mysol Sola Bora
Tupigie uhudumiwe 0767964852
WhatsApp Number +255767964852

09/05/2026
Mteja anfurahia huduma
09/05/2026

Mteja anfurahia huduma

Mysol inaendeleka kukuletea kilichobora zaidi kwa ajili yako wewe mteja unayelala giza tumekuletea offa unapata mtambo w...
09/05/2026

Mysol inaendeleka kukuletea kilichobora zaidi kwa ajili yako wewe mteja unayelala giza tumekuletea offa unapata mtambo w200 na tv 43 taa nne betri kubwa redio torch vyote unavyoona hapo kwa picha hii kwa kianzio cha 247800 na unalipia kila siku 6000 pia ipo w10 ambayo unachukua kwa kianzio cha 10000 mpma zipo na tv 24 kianzio 100800 tupigie sasa uwahi offa hii 0767964852

Pata mtambo wa mysol kwa kianzio Cha 10000 mpka 247500 karibu sana
06/05/2026

Pata mtambo wa mysol kwa kianzio Cha 10000 mpka 247500 karibu sana

Heri ya siku ya mfanyakazi kwako ndugu.Nikukumbushe tu utendaji ndio CV sio visingizio,uchawa,majungu,uchawi,visingizio ...
01/05/2026

Heri ya siku ya mfanyakazi kwako ndugu.

Nikukumbushe tu utendaji ndio CV sio visingizio,uchawa,majungu,uchawi,visingizio na kadhalika.

Piga kazi wasipopenda sura yako mwonekano wako,mavazi yako,sauti yako,uwasilishaji wako,misimamo yako,wewe piga kazi tu.

Wakikitaftia ubaya,mitego,wakikuchimbia shimo,wakikubagua,wakikunyamazisha,wakikudharau wewe wajibu kwa kupiga kazi sahihi na matokeo chanya.

Wakikusema una nata,uko slow,wakisema unajikuta kampuni ni ya baba yako kwa kufanya haki na usawa kiutendaji wewe komaa piga kazi.

Wasipoutambua mchango wako kwenye kazi wanafikiri huna kazi unayofanya wewe usipoteze uelekeo piga kazi tu tena kwa ujasiri maana duniani/kazini si lazima kila mtu atambue mchango wako kuna ambao hata ukifanya vyema hawaoni hicho kwako.

Wakisema utakufa maskini si kwa sababu hulipwi mshahara ila ni kwa sababu umekataa michongo yao michafu.

Wewe piga kazi bhana,heshima sio kujistiri mwili ila heshima pia ni kufanya kazi na kuwa na uwezo wa kujihudumia wewe na wanaokutegemea.

🙏🙏🙏

Address

Muleba Mjini
Muleba

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mysol muleba 1 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share